Saturday 13 January 2007

UHALALI WA KUENDESHA SHUGHULI ZA SACCOS.

Chama hiki kimepata usajili Na. 578 Tarehe 14.02.2006 kwa Mrajisi wa Vyama vya Ushirika chini ya sheria namba 20 ya mwaka 2003 ya Vyama vya Ushirika.

Chama hiki kilisajiriwa baada ya kutimiza masharti yote ikiwa ni pamoja na SERA,KATIBA,UANACHAMA,BODI YA UANZILISHI,ANWANI YA CHAMA NA OFISI YA KUENDESHEA SHUGHULI.

Kwa sasa chama kinayo Akaunti katika Benki ya CRDB, Chama hiki kinayo haki ya kukusanya michango,kuuza hisa na kutoa mikopo kwa wanachama,yote hayo yametimizwa.

Kwa kuzingatia vikao halali vya wanachama waanzilishi chini ya Afisa Ushirika wa Manispaa na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Tabora na uongozi wa CRDB Tawi la Tabora.

No comments: